Wednesday, June 5, 2013

VIKAO VYA SINODI VYAANZA


Baada ya uzinduzi rasmi wa Sinodi katika Dominika ya Pentekoste, 19 Mei 2013, awamu ya kwanza ya vikao vya Sinodi yaanza. Awamu hii inajumuisha vikao vinavyofanyika kwa siku tano kuanzia tarehe 03 Juni hadi 07 Juni. Vikao hivi vinafanyika katika kituo cha Jimbo cha Sala na Mafungo, Epheta.