![]() |
Mahali Jimbo la Musoma lilipozaliwa mnamo tarehe 3 Oktoba 1957 - siku Askofu wa kwanza wa Jimbo, Mhashamu John James Rudin, alipowekwa wakfu kuwa Askofu |
![]() |
Patakatifu pa Kanisa Kuu la Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, Musoma mjini |
Altare ya Somo wa Kanisa Kuu na Jimbo - Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu |
![]() |
Tabernakulo ya Kanisa Kuu la Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, Musoma mjini |
1 comment:
Mungu bariki jimbo la Musoma.
Post a Comment