Wednesday, September 5, 2012

Moyo wa Jimbo la Musoma

Mahali Jimbo la Musoma lilipozaliwa
mnamo tarehe 3 Oktoba 1957 - siku Askofu wa kwanza wa Jimbo,
Mhashamu John James Rudin, alipowekwa wakfu kuwa Askofu
Patakatifu pa Kanisa Kuu la Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, Musoma mjini
Altare ya Somo wa Kanisa Kuu na Jimbo - Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu
Tabernakulo ya Kanisa Kuu la Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, Musoma mjini

1 comment:

Peter Maswi, Frt. said...

Mungu bariki jimbo la Musoma.