Je, una maoni, maswali au changamoto kuhusu Sinodi ya Musoma au kuhusu blog hii?
Usikae kimya. Tuandikie kupitia sinodimusoma@gmail.com.
Unaweza kuwasiliana moja kwa moja na wafuatao kuhusu hatua mbalimbali za Sinodi ya Musoma
Pd. Robert Luvakubandi
Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Maandalizi ya Sinodi,
Pd. Benedict Luzangi
Mwenyekiti Kamati ya Mawasiliano (Sinodi ya Musoma)
Simu: +255 754 076 709 au +255 786 475 300 Barua pepe, luzangibenedict@gmail.com
Jisikie Huru pia kushirikisha rafiki zako na kutoa Maoni au Hisia zako kuhusu makala mbalimbali zinazoandikwa katika blog hii.
Tunatanguliza shukrani kwa ushirikiano wako.
No comments:
Post a Comment